Moses prayed, “My Lord! Forgive me and my brother! And admit us into Your mercy. You are the Most Merciful of the merciful.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Mūsā Alisema, ulipomfunukia udhuru wa ndugu yake na kujua kuwa yeye hakufanya uzembe katika kusimama imara juu ya amri ya Mwenyezi Mungu, «Mola wangu nisamehe ghadhabu zangu na umsamehe ndugu yangu yaliyopita kati yake na Wana wa Isrāīl, na ututie ndani ya rehema yako kunjufu, kwani wewe una huruma na sisi zaidi kuliko kila mwenye huruma.»