When Moses’ anger subsided, he took up the Tablets whose text contained guidance and mercy for those who stand in awe of their Lord.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Zilipotulia hasira za Mūsā alizichukua mbao baada ya kuwa alizitupa chini, na ndani yake mlikuwa na maelezo ya haki na rehema kwa wanaomcha Mwenyezi Mungu na kuogopa mateso Yake.