Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-A'raf 7:183

7:183
واملي لهم ان كيدي متين ١٨٣
وَأُمْلِى لَهُمْ ۚ إِنَّ كَيْدِى مَتِينٌ ١٨٣
وَأُمۡلِي
لَهُمۡۚ
إِنَّ
كَيۡدِي
مَتِينٌ
١٨٣
I ˹only˺ delay their end for a while, but My planning is flawless.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na nitawapa muhula hawa ambao walizikanusha aya zetu mpaka wadhanie kwamba wao hawatateswa, waongeze ukafiri na uasi. Na kwa hivyo, waongezewe adhabu. Kwani vitimbi vyangu ni vigumu, yaani: ni vya nguvu na vikali havizuiliwi kwa nguvu wala kwa hila.