Those on the heights will call out to some ˹tyrants in the Fire˺, who they will recognize by their appearance, saying, “Your large numbers and arrogance are of no use ˹today˺!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na watu walioko Al-A’rāf watawaita wanaume, miongoni mwa viongozi wa makafiri waliomo motoni, wanaowajua kwa alama zao fulani zinazowatenganisha wawaambie, «Hayakuwafaa chochote mali mliokuwa mkiyakusanya ulimwenguni wala watu; pia hakikuwafaa kiburi chenu kilichowafanya nyinyi msimuamini Mwenyezi Mungu na msiikubali haki.»