So We saved him and his family except his wife, who was one of the doomed.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Basi Mwenyezi Mungu Akamuokoa Lūṭ, na wafuasi wake na adhabu, Alimuamuru auhame mji ule, isipokuwa mke wake, kwani yeye alikuwa ni miongoni mwa walioangamia, waliosalia ndani ya adhabu ya Mwenyezi Mungu.