Those who rejected Shu’aib were ˹wiped out˺ as if they had never lived there. Those who rejected Shu’aib were the true losers.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wale ambao walimkanusha Shu'ayb walikuwa kama kwamba hawakukaa kwenye nyumba zao wala hawakustarehe humo. Kwani walimalizwa, isibaki alama yoyote yao, wakapatikana na hasara na maangamivu duniani na Akhera.