and—above all—to be one of those who have faith and urge each other to perseverance and urge each other to compassion.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Kisha akawa, baada ya kufanya amali njema zilizotajwa, ni miongoni mwa waliotakasa Imani yao kwa Mwenyezi Mungu, wakausiana kusubiri juu ya kumtii Mwenyezi Mungu kwa kufuata maamrisho Yake na kujiepusha na vitendo vya kumuasi na wakausiana kuwahurumia viumbe.