They1 say, “Allah has offspring.”2 Glory be to Him! In fact, to Him belongs whatever is in the heavens and the earth—all are subject to His Will.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na walisema Mayahudi na Wanaswara, “Mwenyezi Mungu Amejifanyia mtoto.” Ameepukana Mwenyezi Mungu, kutakasika na sifa pungufu ni Kwake, na neno hilo la batili! Kwani wote walioko mbinguni na ardhini ni milki Yake na ni watumwa Wake. Wote wanamnyenyekea Yeye na wanapelekewa wakiwa chini ya uendeshaji Wake.