The Jews and Christians each say, “Follow our faith to be ˹rightly˺ guided.” Say, ˹O Prophet,˺ “No! We follow the faith of Abraham, the upright—who was not a polytheist.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na Mayahudi walisema kuwaambia ummah wa Mtume Muhammad, rehema za Mwenyezi Mungu na amani zimshukie yeye, “Ingieni kwenye dini ya Kiyahudi mtapata uongofu. Na Wanaswara waliwaambia kama hayo. Waambie, ewe Mtume, “Uongofu ni kuwa sote tufuate Mila ya Ibrāhīm ambaye alijiepusha na kila dini ya ubatilifu na kufuata Dini ya haki, na hakuwa ni miongoni mwa waliomshirikisha Mwenyezi Mungu Aliyetukuka.”