It is they who will receive a ˹heavenly˺ reward for the good they have done. And Allah is swift in reckoning.1
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wale wenye kuomba dua hii wana thawabu kubwa kwa sababu ya amali njema walizozichuma. Mwenyezi Mungu ni mwepesi wa kuvihesabu vitendo vya waja wake na Mwenye kuwalipa navyo.