Many are the societies We have destroyed for persisting in wrongdoing, leaving them in total ruin. ˹Many are˺ also the abandoned wells and lofty palaces!
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ni miji mingi iliyojidhulumu kwa ukafiri wake, tuliwaangamiza watu wake, nyumba zao zikavunjwa zikawa ziko tupu hazina wakazi wake, visima vyake vikawa havichotwi maji na majumba yake ya fahari yaliyo marefu yaliyopambwa hayakuwakinga watu wake na adhabu kali.