But those who disbelieve and deny Our revelations, it is they who will suffer a humiliating punishment.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wale walioukataa upwekwe wa Mwenyezi Mungu, wakawakanusha Mitume Wake na wakazipinga aya za Qur’ani, basi hao watapata adhabu yenye kuwafanya wanyonge na kuwatweza ndani ya moto wa Jahanamu.