But if they argue with you, then say, “Allah knows best what you do.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wakishikilia kujadiliana na wewe kwa njia ya ubatilifu kuhusu yale unayowalingania nayo, usijadiliane na wao, bali waambie, «Mwenyezi Mungu ni mjuzi zaidi wa mnayoyafanya ya ukafiri na kukanusha,» kwani wao wanafanya inadi na kiburi.