Indeed, there is more fear in their hearts for you ˹believers˺ than for Allah. That is because they are a people who do not comprehend.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Kwa hakika, hofu ya wanafiki na Mayahudi kuwaogopa nyinyi, enyi Waumini, ni kubwa mno ndani ya nyoyo zao kuliko vile wanavyomuogopa na kumcha Mwenyezi Mungu. Hii ni kwa sababu ya kuwa wao ni watu wasiouelewa utukufu wa Mwenyezi Mungu na kuwa na Imani Kwake, na hawaogopi mateso Yake.