so We inflicted punishment upon them. The ruins of both nations still lie on a well-known road.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hivyo basi tuliwaadhibu kwa mtetemeko na adhabu ya siku ya uvuli. Na kwa hakika, makazi ya watu wa Lūṭ na watu wa Shu'ayb yako katika njia iliyo wazi, watu wanayapitia katika safari zao na wanapata mazingatio.