Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-Hijr 15:81

15:81
واتيناهم اياتنا فكانوا عنها معرضين ٨١
وَءَاتَيْنَـٰهُمْ ءَايَـٰتِنَا فَكَانُوا۟ عَنْهَا مُعْرِضِينَ ٨١
وَءَاتَيۡنَٰهُمۡ
ءَايَٰتِنَا
فَكَانُواْ
عَنۡهَا
مُعۡرِضِينَ
٨١
We gave them Our signs, but they turned away from them.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na tuliwapa watu wa Ṣāliḥ aya zetu zinazojulisha usahihi wa mambo ya haki ambayo amekuja nayo kwao Mtume Ṣāliḥ, na miongoni mwayo ni ngamia, waszingatie kwa aya hizo na wakawa ni wenye kujiweka mbali nazo na kuzipa mgongo.