So by your Lord! We will certainly question them all
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Naapa kwa Mola wako, tutawahesabu tena tutawahesabu Siku ya Kiyama, na tutawalipa tena tutawalipa wote kwa kuigawanya kwao Qur’ani, kwa kuzua kwao urongo, kuibadilisha, kuipotoa na yasiyokuwa hayo