Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-Isra 17:109

17:109
ويخرون للاذقان يبكون ويزيدهم خشوعا ۩ ١٠٩
وَيَخِرُّونَ لِلْأَذْقَانِ يَبْكُونَ وَيَزِيدُهُمْ خُشُوعًۭا ۩ ١٠٩
وَيَخِرُّونَ
لِلۡأَذۡقَانِ
يَبۡكُونَ
وَيَزِيدُهُمۡ
خُشُوعٗا ۩
١٠٩
And they fall down upon their faces weeping, and it increases them in humility.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na hapo hawa wanapomoka hali ya kusujudu kwa nyuso zao, huku wakilia kwa kuathirika na mawaidha ya Qur’ani. Na kule kuisikia Qur’ani na mawaidha yake kunawafanya wazidi kuinyenyekea amri ya Mwenyezi Mungu na kuunyenyekea uweza Wake mkubwa.