Do not go near adultery. It is truly a shameful deed and an evil way.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wala msikaribie uzinifu na mambo yanayopelekea huko ili msiingie ndani yake, hakika hilo ni tendo baya sana, na njia mbaya zaidi ni njia ya tendo hilo.