Now We have set you ˹O Prophet˺ on the ˹clear˺ Way of faith. So follow it, and do not follow the desires of those who do not know ˹the truth˺.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Kisha tukakufanya, ewe Mtume, uwe kwenye njia iliyofunuka wazi kuhusu jambo la Dini. Basi fuata Sheria ambayo Mwenyezi Mungu Amekupatia, na usifuate matamanio ya wajinga wa Sheria ya Mwenyezi Mungu, wasiojua haki. Katika hii aya kuna ushahidi mkubwa juu ya ukamilifu wa Dini hii na utukufu wake na ulazima wa kufuata hukumu zake na kutopotoka kuelemea kwenye matamanio ya makafiri na wapotofu.