And whenever Our clear revelations are recited to them, their only argument is to say: “Bring our forefathers back, if what you say is true!”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na wanaposomewa, hawa washirikina wakanushaji, aya zetu zilizo waziwazi, huwa hawana hoja isipokuwa ni kutoa maneno yao kumwambia Mtume Muhammad, “Wahuishe, wewe na Waumini, baba zetu waliokufa iwapo nyinyi ni wakweli kwa mnayoyasema.”