˹Now,˺ we truly know that we cannot frustrate Allah on earth, nor can we escape from Him ˹into heaven˺.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
«Na kwamba sisi tuna yakini kuwa mwenyezi Mungu Ana uweza juu yetu, na sisi tuko kwenye mkamato Wake na mamlaka Yake; hatuwezi kumponyoka Anapotaka kutufanya jambo popote pale tulipo. Na hatutaweza kuyahepa mateso Yake kwa kukimbila kwenda mbinguni iwapo Anatutakia mabaya.