Recite what has been revealed to you from the Book of your Lord. None can change His Words, nor can you find any refuge besides Him.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na usome Qur’ani, ewe Mtume, ambayo Mwenyezi Mungu Amekuletea wahyi nayo, kwani hiyo Qur’ani ni Kitabu ambacho hakuna mwenye kuyageuza maneno yake kwa kuwa ni ya kweli na ya uadilifu, na hutapata isipokuwa kwa Mola wako mahala pa wewe kuhamia wala pa kujilinda.