His ˹believing˺ companion replied, while conversing with him, “Do you disbelieve in the One Who created you from dust,1 then ˹developed you˺ from a sperm-drop, then formed you into a man?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Mwenzake Muumini akamwambia, huku akimjadili kwa kumuwaidhia, «Vipi wewe utamkanusha Mwenyezi Mungu Aliyekuumba kwa mchanga kisha kwa tone la manii kisha Akakusawazisha kwa kukufanya binadamu mwenye kimo kilicholingana na umbo?» Katika aya hii pana dalili ya kwamba mwenye uweza wa kuanzisha kuumba viumbe ni muweza wa kuwarudisha.