Those ˹are the˺ societies We destroyed when they persisted in wrong,1 and We had set a time for their destruction.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Vijiji hivyo vilivyo karibu na nyinyi, kama vijiji vya watu wa Nūḥ„ Ṣāliḥ„ Lūṭ, na Shu'ayb, tuliviangamiza watu wake walipodhulumu kwa kukufuru, na tuliwawekea wakati na muda maalumu wa kuwaangamiza; walipoufikia adhabu iliwajia na Mwenyezi Mungu Akawaangamiza kwayo.