“And as for the boy, his parents were ˹true˺ believers, and we1 feared that he would pressure them into defiance and disbelief.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na ama mvulana niliyemuua alikuwa, katika ujuzi wa Mwenyezi Mungu, ni kafiri, na babake na mamake walikuwa Waumini, tukaogopa lau huyu mvulana ataendelea kuishi atawatia wazazi wake kwenye ukafiri na udhalimu wenye kupita kiasi kwa kumpenda kwao au kwa kumuhitajia.