So endure ˹this denial, O Prophet,˺ with beautiful patience.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Basi vumilia, ewe Mtume, kule kufanya kwao shere na kutaka kwao wafikiwe na adhabu kwa haraka, uvumilivu usiokuwa na babaiko wala kumshtakia asiyekuwa Mwenyezi Mungu.