Your only guardians are Allah, His Messenger, and fellow believers—who establish prayer and pay alms-tax with humility.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakika msaidizi wenu , enyi Waumini, ni Mwenyezi Mungu na Mtume Wake na Waumini wanaojilazimisha na Swala za faradhi na wanatekeleza Zaka kwa hiari yao na hali wao ni wanyenyekevu kwa Mwenyezi Mungu.