Indeed, those in awe of their Lord without seeing Him1 will have forgiveness and a mighty reward.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Hakika wale wanaomuogopa Mola wao, wakamuabudu na wasimuasim na hali wako mbali na macho ya watu na wanaiogopa adhabu ya Akhera kabla hawajaiona, watapata msamaha wa dambi zao katoka kwa Mwenyezi Mungu na malipo mema makubwa ambayo ni Pepo.