except with their wives or those ˹bondwomen˺ in their possession,1 for then they are free from blame,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Isipokuwa kwa wake zao au wajakazi waliomilikiwa na mikono yao ya kulia. Hao, Waumini hawana lawama wala makosa kuwaingilia na kujistarehesha nao, kwa kuwa Mwenyezi Mungu Amewahalalishia.