Indeed, My revelations were recited to you, but you used to back away ˹in disgust˺,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
«Zilikuwa aya za Qur’ani zikisomwa kwenu, ili mupate kuziamini, na mlikuwa mnazikimbia hamtaki kuzisikia na kuzikubali na kuzitumia, kama anavyofanya mwenye kurudi nyuma kwa kule kurudi kwake nyuma.