boasting of the Sacred House, and babbling ˹nonsense about the Quran˺ by night.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
«Mnalifanya hilo na huku mnawaonesha watu kiburi pasi na haki kwa sababu ya Nyumba ya Mwenyezi Mungu tukufu. Mnasema, ‘Sisi ni watu wa Nyumba hiyo, hatushindwi tukiwa hapo,’ na mnakesha mkiwa kando-kando yake kwa maneno maovu.»