In fact, We have brought them the truth, and they are certainly liars.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ilivyo ni kwamba tumewaletea wakanushaji hawa ukweli wa yale tuliyompeleka kwayo Mtume Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie. Na kwa hakika wao ni warongo kwenye ushirikina wao na ukanushaji wao kufufuliwa.