But on that Day the believers will be laughing at the disbelievers,
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Basi Siku ya Kiyama wale waliomkubali Mwenyezi Mungu na Mtume wake na wakafanya vitendo vinavyolingana na sheria Zake, watawafanyia maskhara makafiri kama makafiri walivyokuwa wakiwafanyia mashara duniani.