Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-Mutaffifin 83:35

83:35
على الارايك ينظرون ٣٥
عَلَى ٱلْأَرَآئِكِ يَنظُرُونَ ٣٥
عَلَى
ٱلۡأَرَآئِكِ
يَنظُرُونَ
٣٥
as they sit on ˹canopied˺ couches, looking on.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Juu ya viti vya fahari, watakuwa Waumini wanaangalia yale Aliyowapa Mwenyezi Mungu miongoni mwa mambo matukufu na neema, wakiwa Peponi. Na neema kubwa ya zote ni kuangalia Uso wa Mwenyezi Mungu Mtukufu.