And they proceeded early, totally fixated on their purpose.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Wakaenda kipindi cha mwanzo wa mchana kuelekea kwenye shamba lao wakiwa na lengo baya la kuwanyima masikini matunda ya shamba, wakiwa wana uwezo kamili wa kulitekeleza hilo kulingana na madai yao.