So leave to Me ˹O Prophet˺ those who reject this message. We will gradually draw them to destruction in ways they cannot comprehend.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Basi, niache, ewe Mtume, na wale wanaoikanusha hii Qur’ani! Ni juu yangu kuwalipa na kuwatesa. Tutawanyoshea mambo yao kwa kuwapa mali, watoto na neema nyiginezo kwa njia ya kuwavutavuta kwa namna ya wao kutofahamu kuwa hiyo ndiyo njia ya kuwaangamiza.