Sign in
Sign in
Sign in
Select Language

Tafsir: Al-Qamar 54:14

54:14
تجري باعيننا جزاء لمن كان كفر ١٤
تَجْرِى بِأَعْيُنِنَا جَزَآءًۭ لِّمَن كَانَ كُفِرَ ١٤
تَجۡرِي
بِأَعۡيُنِنَا
جَزَآءٗ
لِّمَن
كَانَ
كُفِرَ
١٤
sailing under Our ˹watchful˺ Eyes—a ˹fair˺ punishment on behalf of the one ˹they˺ denied.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
ikawa inatembea kwa uangalizi wetu na utunzi, na tukawazamisha waliokanusha, ikiwa ni malipo yao kwa ukafiri wao na kwa kumnusuru Nūḥ, amani imshukie. Hapa pana dalili ya kuthibitisha sifa ya macho mawili kwa Mwenyezi Mungu, Aliyetakasika na kutukuka, kama inavyonasibiana na Yeye.