Pharaoh declared, “O chiefs! I know of no other god for you but myself. So bake bricks out of clay for me, O Hamân, and build a high tower so I may look at the God of Moses, although I am sure he is a liar.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na Fir’awn akasema kuwaambia watukufu wa watu wake, «Enyi viongozi! Mimi sijui kwamba nyinyi muna mola isipokuwa mimi anayestahiki kuabudiwa. Basi, ewe Hāmān! Niwashie moto juu ya udongo mpaka ushikane, na unijengee jengo lenye urefu wa kuelekea juu, kwani huenda nikamchungulia muabudiwa wa Mūsā ambaye yeye anamuabudu na anawaita watu wamuabudu. Na mimi ninadhani kuwa yeye ni miongoni mwa warongo katika hayo anayoyasema.»