And so he and his soldiers behaved arrogantly in the land with no right, thinking they would never be returned to Us.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na Fir’awn na askari wake walifanya kiburi katika nchi ya Misri bila ya haki kwa kukataa kumuamini Mūsā na kumfuata katika lile alilowaitia na wakadhani kwamba baada ya kufa kwao hawatafufuliwa.