We made them leaders inviting ˹others˺ to the Fire. And on the Day of Judgment they will not be helped.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na tumemfanya Fir’awn na watu wake ni wenye kuongoza kwenye njia ya motoni, wakifuatwa na watu wa ukafiri na uasi. Na Siku ya Kiyama hawataokolewa. Hiyo ni kwa sababu ya ukafiri wao na kuwakanusha kwao Mitume wa Mola wao na kuendelea kwao kufanya hivyo.