They used to ask ˹mockingly˺, “When we are dead and reduced to dust and bones, will we really be resurrected?
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na walikuwa wakisema hali ya kukanusha Ufufuzi, «Je hivi sisi tutafufuliwa tutakapokufa na tukawa mchanga na mifupa iliyochakaa?» Maneno yao hayo yanaonesha kuwa wao walikuwa wakiliona jambo hili la kufufuliwa kuwa liko mbali na ukweli na wakilikanusha.