As for the bright-faced, they will be in Allah’s mercy, where they will remain forever.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ama wale ambao nyuso zao zitakuwa nyeupe kwa mn’garo wa neema na kwa yale mema ambayo walipewa bishara nayo, wao watakuwa katika Pepo ya Mwenyezi Mungu na starehe zake. Wao watasalia humo, hawatatoka humo milele.