Whether you die or are martyred—all of you will be gathered before Allah.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Na iwapo ajali zenu zitakoma katika haya maisha ya dunia na mkafa juu ya matandiko yenu au mkauawa katika uwanja wa mapigano, ni kwa Mwenyezi Mungu, Peke Yake, Mtakusanywa; na huko Atawalipa kwa matendo yenu mliyoyatenda.