They ˹each˺ have varying degrees in the sight of Allah. And Allah is All-Seeing of what they do.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Watu wa Peponi wenye kufuata yenye kumridhisha Mwenyezi Mungu wanatafautiana daraja. Na watu wa Motoni wanaofuata yenye kumkasirisha Mwenyezi Mungu wanatafautiana katika matobwe. Wao hawalingani. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuziona amali zao, hakifichiki chochote Kwake katika matendo yao.