This is because they say, “The Fire will not touch us except for a few days.” They have been deceived in their faith by their wishful lying.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
kujiepusha huko na haki, sababu yake ni itikadi mbaya walionayo Watu wa Kitabu kwamba wao hawataadhibiwa isipokuwa siku chache. Itikadi hii iliwapelekea wao wamfanyiye ujasiri Mwenyezi Mungu na waidharau Dini Yake na waendelee na dini yao ya batili ambayo walijidanganya nayo nafsi zao.