Zachariah exclaimed, “My Lord! How can I have a son when I am very old and my wife is barren?” He replied, “So will it be. Allah does what He wills.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Zakariyyā akasema akiwa na furaha na kwa kustaajabu, «Mola wangu! Vipi nitakuwa na mtoto hali ya kuwa uzee umenifikia hadi ya kunifikia na mke wangu ni tasa, hazai.? Akasema, «Hivyo ndivyo Mwenyezi Mungu Anavyofanya Anayoyataka katika mambo ya ajabu yanayokwenda kinyume na mambo ya kawaida.»