Without a doubt, Allah knows what they conceal and what they reveal. He certainly does not like those who are too proud.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Ni kweli kwamba Mwenyezi Mungu Anayajua wanayoyaficha ya itikadi, maneno na vitendo, na wanayoyaonyesha waziwazi katika hayo, na Atawalipa kwa hayo. Kwa kweli Yeye, Aliyeshinda na kutukuka, Hawapendi wanaofanya ujeuri wa kukataa kumuabudu na kumtii, na Atawalipa kwa hilo.