˹He will do that˺ to make clear to them what they disagreed on, and for the disbelievers to know that they were liars.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Mwenyezi Mungu Atwafufua waja wote, ili awafunulie ukweli wa Ufufuzi ambao wametafautiana juu yake, na ili makafiri wenye kuukanusha wapate kujua kwamba wao wako kwenye ubatilifu na kwamba wao ni warongo pindi walipoapa kwamba hakuna kufufuliwa.