They are aware of Allah’s favours, but still deny them. And most of them are ˹truly˺ ungrateful.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Washirikina hawa wazijua neema za Mwenyezi Mungu juu yao za kutumilizwa Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, kwao, kisha wanaukanusha utume wake. Na wengi wa watu wake ni wale wanaoukanusha utume wake na sio wanaoukubali.